Glory Ogbonna

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Glory ogbonna
Nchi Nigeria



Glory Ogbonna (alizaliwa 25 Desemba 1998) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Nigeria ambaye anacheza kama beki wa klabu ya Umea IK nchini Uswidi na timu ya taifa ya Nigeria. Amecheza na Edo Queens katika Ligi ya Wanawake ya Nigeria.[1][2][3]

Mnamo tarehe 16 Julai 2021 akiwa nchini Austria na klabu nyingine ya Super Falcons katika kambi ya Aisha Buhari katika mashindano ya kimataifa klabu ya soka ya Umea yenye makao yake makuu mjini Elitetan ilitangaza kumsajili Glory Ogbonna kama mchezaji wao mpya mpaka mwisho wa 2022.[4]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Glory Ogbonna". Eurosport. 
  2. "G. OGBONNA". Soccerway.com. Iliwekwa mnamo 2018-11-23. 
  3. "Danjuma names Famuditi, Imo in starting line-up to face Tanzania". Brila FM. 16 September 2017. Iliwekwa mnamo 1 September 2019.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  4. Ahmadu, Samuel (27 February 2018). "Coach Dennerby singles out 'outstanding' Ogbonna after Nigeria's Wafu outing". Goal.com. Iliwekwa mnamo 2018-11-23.  Check date values in: |date= (help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Glory Ogbonna kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.