Familia nyuklia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
A man, woman, and two children smiling outside of a house
Familia nyuklia ya Marekani mwaka 1955 hivi.

Familia nyuklia (kwa Kiingereza nuclear family, elementary family au conjugal family[1][2]) ni familia iliyoundwa na wazazi wawili na watoto wao[3].

Ni tofauti na familia pana, inayohusisha ndugu wengi wa wazazi, na aina nyingine za familia[4].

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nuclear family - Definition and pronunciation". Oxford Advanced Learners Dictionary. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-01-31. Iliwekwa mnamo 2012-04-18. 
  2. "Nuclear family". Encyclopædia Britannica Online. Encyclopædia Britannica. 2011. http://www.britannica.com/EBchecked/topic/421619/nuclear-family. Retrieved 2011-07-24.
  3. Living Arrangements of Children
  4. Family Structure and Children’s Health in the United States: Findings From the National Health Interview Survey, 2001–2007

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Familia nyuklia kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.