Dominiko wa Silos

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Dominiko akitawazwa.

Dominiko wa Silos, O.S.B. (Rioja, Hispania, 1000 - Silos, 20 Desemba 1073) alikuwa mkaapweke aliyefufua monasteri ya Silos nchini Hispania akawa abati wake. Alijitahidi kueneza urekebisho wa umonaki wa Kibenedikto lakini pia kukomboa Wakristo waliotekwa na Waislamu kama watumwa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 20 Desemba[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Alban Butler, Il primo grande dizionario dei santi secondo il calendario, 2001, Edizioni PIEMME S.p.A., Casale Monferrato ISBN 88-384-6913-X.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.