Bunilizi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Rukia: urambazaji, tafuta

Bunilizi ni njia ya kubuni kazi ya kifasihi, hasa ya fasihi andishi ambayo haidai kuwakilisha ukweli wa kihistoria. Matawi ya bunilizi yaliyoenea sana karne ya 20 ni bunilizi ya kisayansi na bunilizi ya kinjozi.

[hariri] Marejeo

Wamitila, K.W. 2003. Kamusi ya Fasihi: Istilahi na Nadharia, Nairobi: Focus Books.

Globe of letters.svg Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bunilizi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Vifaa binafsi
Maeneo ya wiki

Vibadala
Vitendo
Urambazaji
Vifaa
Lugha zingine