Buffalo, New York

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Jiji la Buffalo
Skyline ya Jiji la Buffalo
Jiji la Buffalo is located in USA
Jiji la Buffalo
Jiji la Buffalo
Mahali pa mji wa Buffalo katika Marekani
Coordinates: 42°54′17″N 78°50′58″W / Expression error: Unexpected < operator Expression error: Unexpected < operator / Expression error: Unexpected < operator; Expression error: Unexpected < operator
Nchi Marekani
Jimbo New York
Kitongoji Erie
Idadi ya wakazi
 - Mji 272,632
Website: www.city-buffalo.com
South Lake

Buffalo ni mji mkubwa wa pili katika New York baada ya New York City. Mji wa Buffalo uko kando la Mto Niagara.

Anwani ya kijiografia ni 42°54'N na 78°50'W. Idadi ya wakazi ni 272,632 (2007). Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao milioni 1.3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 183 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Meya wa mji ndiye Byron Brown aliyechguliwa mwaka wa 2005.

[hariri] Viungo vya Nje


Flag USA template.gif Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Buffalo, New York kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.