Buenos Aires

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru


Jiji la Buenos Aires
Nchi Argentina
Jengo la Catalinas Norte

Buenos Aires (kwa Kihisp.: "upepo mzuri") ni mji mkuu pia mji mkubwa wa Argentina wenye wakazi 2,776,234.

Mji uko kando ya Río de la Plata kwenye pwani ya mashariki ya Amerika Kusini kwa 34°36′S na 58°23′W. Magharibi kwa Buenos Aires zinaanza tambarare zenye rutuba za pampa.

Barabara ya Avenida de Mayo

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Tovuti za magazeti ya Buenos Aires[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Argentina bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Buenos Aires kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.