BMG Record Label

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
BMG Record Label
Imeanzishwa 2017
Mwanzilishi Beka Boy
Usambazaji wa studio "Dapstrem Entertainment"
Aina za muziki Bongo Flava
Nchi Tanzania
Mahala Kigoma,Tanzania
Tovuti http://bekaboy.com/

BMG Record Label ni studio iliyoanzishwa na Beka Boy mwaka 2017. Studio hiyo yenye makao yake katika jiji la Kigoma, Tanzania.Inajulikana kuwa msingi wa Bongo Flava.