BMG Record Label
Kuna pendekezo la kufuta makala hii. Ona majadiliano kwenye ukurasa wa majadiliano na hapa. Unaweza kuondoa kigezo hiki baada ya mapatano kwenye ukurasa wa "Wikipedia:Makala kwa ufutaji" (tazama juu). |
BMG Record Label | |
---|---|
Imeanzishwa | 2017 |
Mwanzilishi | Beka Boy |
Usambazaji wa studio | "Dapstrem Entertainment" |
Aina za muziki | Bongo Flava |
Nchi | Tanzania |
Mahala | Kigoma,Tanzania |
Tovuti | http://bekaboy.com/ |
BMG Record Label ni studio iliyoanzishwa na Beka Boy mwaka 2017. Studio hiyo yenye makao yake katika jiji la Kigoma, Tanzania.Inajulikana kuwa msingi wa Bongo Flava.