Austria Chini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Austria Chini katika Austria
bendera ya Austria Chini

Austria ya Chini (kwa Kijerumani: Niederösterreich) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 1.608.590 kwenye eneo la km² 19.177.

Mji mkuu ni Sankt Pölten.

Waziri mkuu ni Johanna Mikl-Leitner (ÖVP).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Austria ya Chini imepakana na Ujerumani na majimbo ya Austria Juu, Steiermark, Burgenland na Vienna.

Miji mikubwa ni pamoja na Sankt Pölten na Wiener Neustadt.

Danubi na Morava ni mito muhimu zaidi.

Picha za Austria ya Chini[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Majimbo ya Austria
Austria Chini (Niederösterreich)Austria Juu (Oberösterreich)BurgenlandKarinthia (Kärnten)SalzburgSteiermarkTirolVienna (Wien)Vorarlberg
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Austria Chini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.