Amba Aradam

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mfano wa jiwe kutoka Mlima Amba Aradam nchini [Ethiopia]

Amba Aradam ni mlima wa meza, kaskazini mwa Ethiopia. Uko katika eneo la Debub Misraqawi (Kusini-mashariki) mwa Mkoa wa Tigray, kati ya Mek'ele na Addis Ababa, ina latidudo na longitudo ya [13 ° 20'N 39 ° 31'E na kimo cha mita 2,756] (futi [9,042]).

Jina kwa Kitigrinya ni Imba Aradom, lakini utumiaji wa kimataifa katika jiolojia (Amba Aradam Formation) na historia (vita katika miaka ya 1930) vimeunda jina Amba Aradam. [1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Levitte, D (1970). The geology of Mekele. Report on the geology of the central part of sheet ND 37-11. Addis Ababa: Geological Survey of Ethiopia. 
Makala hii kuhusu maeneo ya Ethiopia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Amba Aradam kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.