Kabila la Yosefu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Yosefu (kabila))

Kabila la Yosefu ni mojawapo kati ya makabila ya Israeli ambayo kwa jumla ni 12, kutokana na watoto wa kiume 12 wa Yakobo Israeli. Liligawanyika pande mbili: kabila la Manase na kabila la Efraimu.

Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kabila la Yosefu kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.