Yono Stanley Jilaoneka Kevela

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Yono Stanley Kevela)

Yono Stanley Jilaoneka Kevela (amezaliwa tar. 13 Desemba 1963) ni mbunge wa jimbo la Njombe Magharibi katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Yono Stanley Jilaoneka Kevela". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.