Wilaya ya Karatu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Karatu.GIF

Wilaya ya Karatu ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Arusha yenye postikodi namba 23600[1]. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Karatu ilihesabiwa kuwa 230,166. [2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]


Flag of Tanzania.svg Kata za Wilaya ya Karatu - Mkoa wa Arusha - Tanzania Flag of Tanzania.svg

Baray | Buger | Daa | Endabash | Endamaghang | Endamarariek | Ganako | Kansay | Karatu | Mang'ola | Mbulumbulu | Oldean | Qurus | Rhotia


Flag-map of Tanzania.svg Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Arusha bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Karatu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.