Vivian Akinyi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vivian Akinyi, (alizaliwa 20 Mei 1994), ni mwanasoka wa Kenya ambaye anacheza kama golikipa. Amekuwa mwanachama wa timu ya taifa ya wanawake ya Kenya.

Kazi ya kimataifa: Akinyi alichezea Kenya katika Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake 2016.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. http://admin.cafonline.com/en-us/competitions/10theditionwomensafcon-cameroon2016/MatchDetails?MatchId=kFa%2fBcBhyVJ7mfUzeWWRFKVzLbEQ4KRsk2nWj7VrTyOTPSUvSF6J%2bDvDNAqk9%2bZW
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Vivian Akinyi kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.