Uwanja wa michezo wa Kimataifa wa Cairo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Uwanja wa michezo wa Kimataifa wa Cairo

Uwanja wa michezo wa Kimataifa wa Cairo (Kiarabu ستاد القاهرة الدولي), zamani ukijulikana kama Uwanja wa Nasser, ni uwanja wa Olimpiki wa kiwango cha Olimpiki, unaotumika zaidi, una uwezo wa kukaa watu 75,000.[1]


Muhtasari[hariri | hariri chanzo]

Uwanja upo karibu kilomita 10 magharibi mwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cairo na karibu 10 km [2]dakika 30 kutoka jiji la Cairo.

Mnamo mwaka 2005, ulitumika kuandaa na Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2006 ulifanyiwa ukarabati mkubwa, na uliletwa hadi kiwango cha ulimwengu cha karne ya 21 pamoja na vifaa vyake vyote vya michezo ya Olimpiki.

Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019[hariri | hariri chanzo]

Uwanja huo ulikuwa moja ya kumbi zilizotumika katika Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2019.

Muunganisho wa usafiri[hariri | hariri chanzo]

Uwanja huo upo Nasr City; kitongoji cha kaskazini mashariki mwa Cairo na kinaweza kufikiwa kwa njia ya ardhi kupitia kituo cha barabara kuu cha Cairo kwenye Cairo Metro Line 3 | line 3, iliyoko mbele tu ya uwanja huo.

Gallery[hariri | hariri chanzo]

Muonekano wa Panorama wa mambo ya ndani ya uwanja
Uwanja wa cairo kabla ya mechi ya Al Ahly Vs Sundowns Mnamo mwaka2020 Ligi ya Mabingwa CAF

Ona pia[hariri | hariri chanzo]

  • Cairo Stadium Indoor Halls Complex


Viungo vya njee[hariri | hariri chanzo]


Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "International Cairo Stadium". www.cairo-stadium.org.eg. Iliwekwa mnamo 2017-02-11. 
  2. "Distance & Directions from Cairo Stadium to Downtown". Iliwekwa mnamo 9 November 2011.  Check date values in: |accessdate= (help)[dead link]
Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Uwanja wa michezo wa Kimataifa wa Cairo kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.