Umoja wa Wanawake wa Kiarabu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Umoja wa Wafeministi wa Kiarabu (AFU) pia unaitwa Umoja wa Wafeministi wa Waarabu Wote. Muungano Mkuu wa Wafeministi wa Kiarabu na Umoja wa Wanawake wa Kiarabu. Ulikuwa shirika mwamvuli la vyama vya kifeministi kutoka nchi za Kiarabu,Lililoanzishwa mwaka wa 1945 [1] Madhumuni yake yalikuwa kufikia usawa wa kijinsiaki jamii na kisiasa huku ikikuza utaifa wa Waarabu

Historia[hariri | hariri chanzo]

AFU iliundwa na Umoja wa Wanawake wa Misri (EFU) chini ya Huda Sharawi EFU ilikuwa mahali pa kuanzia kwa vuguvugu la utetezi wa haki za wanawake wa Kiarabu wakati lilipoanzishwa mnamo 1923

Mnamo mwaka wa 1938, EFU iliandaa Kongamano la Wanawake wa Mashariki kwa ajili ya Ulinzi wa Palestina huko Cairo, na Huda Sharawi alipendekeza nchi moja moja zianzishe miungano ya wanawake na kwamba vyama hivyo viliunda shirika mwamvuli, linalozunguka ulimwengu wa Kiarabu.

Tarehe 7 Desemba 1944 EFU iliitisha Kongamano la Wanawake wa Kiarabu au Kongamano la Wanawake wa Kiarabu la 1944 huko Cairo, ambalo lilianzisha rasmi AFU.


Kuanzia miaka ya 1960, tawala kadhaa za kiimla katika nchi mpya za Kiarabu zilizokuwa na uhuru zilipinga upangaji wa ufeministi. Mnamo 1956, serikali ya Misri ililazimisha kufungwa kwa EFU. AFU ilihamisha makao yake makuu hadi Beirut, lakini shirika hilo lilipungua.

Marejeleo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Arab Feminist Union", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-03-08, iliwekwa mnamo 2024-04-18