Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1956
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1956 ulikuwa wa 43 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Dwight Eisenhower (pamoja na kaimu wake Richard Nixon) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Adlai Stevenson II (pamoja na kaimu wake Estes Kefauver).
Matokeo[hariri | hariri chanzo]
Eisenhower akapata kura 457, na Stevenson 73 wakati mchaguzi mmoja kutoka Alabama alimpigia kura Walter B. Jones badala ya Stevenson. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |