Tuzo za muziki Tanzania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tuzo za muziki Tanzania- ni tuzo za muziki za kitaifa zinazofanyika kila mwaka nchini [1]Tanzania. Pia zinajulikana kama [[Kilimanjaro Music Awards]] au ''Kili Music Awards'' baada ya mfadhili wao [[Kilimanjaro Premium Lager]]. [2]Ttuzo zake zilianzishwa mwaka 1999 na Baraza la Sanaa la Taifa [[BASATA]] [3]chini ya Wizara ya Elimu na Utamaduni ya Tanzania.

Vipengere vya Tuzo[hariri | hariri chanzo]

o  Msanii Bora wa Kiume

o  Msanii Bora wa

o  Mwimbaji Bora wa Kiume

o  Mwimbaji Bora wa

o  Mwandishi Bora wa Wimbo

o  Msanii Bora Anayekuja

o  Msanii bora wa Hip Hop

o  Rapa bora (kutoka bendi)

o  Wimbo Bora

o  Video Bora ya Muziki

o  Mkurugenzi Bora wa Video ya Muziki

o  Wimbo Bora wa Afro Pop

o  Wimbo Bora wa R&B

o  Wimbo Bora wa Zouk/Rhumba

o  Wimbo Bora wa Hip Hop

o  Wimbo Bora wa Ushirikiano

o  Wimbo Bora wa Kiswahili (kutoka bendi)

o  Wimbo Bora wa Ragga/Dancehall

o  Wimbo Bora wa Reggae

o  Wimbo Bora wa Taarab

o  Wimbo Bora wa Afrika Mashariki

o  Wimbo Bora wa Jadi

o  Mtayarishaji Bora Jim Beam

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.kilitimetz.com/awards/2009/about_awards.html
  2. https://allafrica.com/stories/201103281745.html
  3. https://thecitizen.co.tz/news/4-national-news/21508-ecstasy-shock-losses-dominate-2012-kili-awards.html[dead link]