The Pentagon
Mandhari

The Pentagon ni jengo na ofisi ziko katika Arlington, Virginia karibu na Washington DC. Ni makao makuu ya Idara ya Ulinzi ya Marekani.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Tovuti rasmi Ilihifadhiwa 18 Desemba 2011 kwenye Wayback Machine.
| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu The Pentagon Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |