Tasnifu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tasnifu (Kiingereza thesis, dissertation) [1] ni maandiko ya kitaaluma yanayochanganua mada maalumu kwa ajili ya kupata shahada ya juu.

Hutolewa pale ambapo msomi analenga digrii ya kitaaluma akiwasilisha utafiti na matokeo yake. [2]

Katika miktadha mingine, neno "tasnifu" hutumiwa pia kwa kazi kubwa ya kimaandishi iliyo sehemu ya shahada ya awali au ya uzamili, lakini kwa kawaida hutumiwa kwa uzamivu.[3]

Ugumu au ubora wa utafiti unaohitajika kwa tasnifu inaweza kutofautiana na nchi, chuo kikuu, au somo.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Nieves-Whitmore, Kaeli. "Subject Guides: Citation Help: Dissertations & Theses". guides.lib.uiowa.edu (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 15 February 2021.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. International Standard ISO 7144: Documentation—Presentation of theses and similar documents, International Organization for Standardization, Geneva, 1986.
  3. Douwe Breimer, Jos Damen et al.: Hora est! On dissertations, Leiden University Library, 2005.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]