Nenda kwa yaliyomo

Tamasha la Bugum Chugu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Buɣim Chuɣu (Tamasha la Moto) ni tamasha la kwanza la watu wa Dagomba katika mwaka. Husherehekewa katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kalenda ya Dagomba,[1] Bugum Goli (mwezi wa moto), na husherehekewa siku ya tisa ya mwezi. Tamasha hili linaadhimishwa kukumbuka mwana wa mfalme aliyepotea[1] wakati wa zamani wa Ufalme wa Dagbon.[2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. 1.0 1.1 "Festivals in the Northern Region". Embassy of the Republic of Ghana, Germany. Desemba 16, 2013. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo Agosti 19, 2012. Iliwekwa mnamo Agosti 31, 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Kpanjɔɣu". wikidata. (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2023-03-04.
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tamasha la Bugum Chugu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.