Nenda kwa yaliyomo

Tamasha la Apiba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tamasha la Apiba ni tamasha la kila mwaka linalosherehekewa na machifu na watu wa Senya Beraku katika Mkoa wa Central wa Ghana. Kawaida husherehekewa mwezi wa Juni.[1][2][3][4]

Sherehe[hariri | hariri chanzo]

Wakati wa tamasha, wageni wanakaribishwa kushiriki chakula na vinywaji. Watu huvaa nguo za kitamaduni na kuna Durbar ya machifu. Pia kuna kucheza na kupiga ngoma.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Festivals Ghana - Easy Track Ghana". www.easytrackghana.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-22.
  2. "Festivals in Ghana". touringghana.com (kwa American English). 2016-02-24. Iliwekwa mnamo 2020-08-22.
  3. "Festivals – Slutchtours" (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-01-18. Iliwekwa mnamo 2020-08-22.
  4. "How Well Do You Know The Festivals In Ghana?". BusinessGhana. Iliwekwa mnamo 2020-08-22.
  5. "Major Festivals". www.ghanaembassyiran.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-21.