Nenda kwa yaliyomo

Tamasha la Akyempem

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tamasha la Akyempem ni tamasha la kila mwaka linalosherehekewa na machifu na watu wa Eneo la Jadi la Agona katika Mkoa wa Ashanti nchini Ghana.[1] Kawaida husherehekewa mwezi wa Septemba.[2][3][4][5] Muda mwingine husherehekewa mwezi wa Oktoba.[6]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. WhiteOrange. "Festivals". Ghana Tourism Authourity (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2020-09-22. Iliwekwa mnamo 2020-08-24.
  2. "Festivals Ghana - Easy Track Ghana". www.easytrackghana.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-24.
  3. Boateng, Kwabena (2015-09-12). "List of festivals in Ghana". GhanaCulturePolitics (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-01-20. Iliwekwa mnamo 2020-08-24.
  4. "Major Festivals". www.ghanaembassyiran.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-24.
  5. "GhanaReview International--- Ghana Tourism". ghanareview.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-24.
  6. "Festivals in Ghana". touringghana.com (kwa American English). 2016-02-24. Iliwekwa mnamo 2020-08-24.