Nenda kwa yaliyomo

Tamasha la Ahumkan

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tamasha la Ahumkan ni tamasha la kila mwaka linalosherehekewa na machifu na watu wa Kibi, Ghana katika Mkoa wa Eastern wa Ghana. Kawaida husherehekewa mwezi wa Juni.[1][2][3][4]


Sherehe[hariri | hariri chanzo]

Wakati wa tamasha, wageni hukaribishwa kushiriki chakula na vinywaji. Watu huvaa nguo za kitamaduni na kuna durbar ya machifu. Pia kuna kucheza na kupiga ngoma.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Festivals Ghana - Easy Track Ghana". www.easytrackghana.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-23.
  2. "International life in ghana , africa, P.O.BOX MD 1066 MADINA ACCRA GHANA, Accra (2020)". www.findglocal.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-23.
  3. "GhanaReview International--- Ghana Tourism". ghanareview.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-23.
  4. "Festivals – Slutchtours" (kwa American English). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2021-01-18. Iliwekwa mnamo 2020-08-23.
  5. "Major Festivals". www.ghanaembassyiran.com. Iliwekwa mnamo 2020-08-21.