Sundsvall

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mtaa wa Sundsvall

Sundsvall ni mji nchini Uswidi. Mji ulianzishwa 1621. Kuna wakazi 49,339 (mwaka 2005).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 27.39 km². Iko kando ya Ghuba ya Bothnia..

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sundsvall kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.