Nenda kwa yaliyomo

Staouéli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Staouéli (Berber: ⵚⵟⴰⵡⴰⵍⵉ) ni manispaa iliyoko katika Mkoa wa Algiers, Algeria. Iko katika wilaya ya Zéralda, kwenye Rasi karibu na Bahari ya Mediterania, ikihusisha mji wa mapumziko wa Sidi Fredj. Kulikuwa na mzunguko wa Grand Prix uliokuwa Staouéli. Mashindano ya Grand Prix yalifanyika huko kuanzia 1928 hadi 1930, lakini mzunguko huo haujaendelea kutumika .[1]

Mnamo 1843, Watrappisti walipata ekari 2500 za ardhi kwenye eneo la Vita ya Staouéli (ilivyopiganwa Juni 19, 1830, wakati wa uvamizi wa Ufaransa wa Algeria). Hapa walijenga monasteri ambapo takriban watawa 100 waliishi na kufanya kazi. Kwenye ukuta wa monasteri kuna maandishi: S'il est triste de vivre à la Trappe, qu'il est doux d'y mourir (Ingawa ni huzuni kuishi hapa, ni tamu kufa hapa).

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Staouéli Track Info". www.silhouet.com. Iliwekwa mnamo 2024-06-15.
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Staouéli kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.