Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukeketaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Siku ya Kimataifa ya Kutokomeza Ukeketaji (kwa Kiingereza: International Day of Zero Tolerance for Female Genital Mutilation) ni siku ya kimataifa ya Umoja wa Mataifa ambayo husherehekewa tarehe 8 Februari ya kila mwaka ikiwa na malengo ya kutokomeza ukeketaji.

Siku hiyo ilianza kuadhimishwa mwaka 2003.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Charlotte Feldman-Jacobs, "Commemorating International Day of Zero Tolerance to Female Genital Mutilation" Archived 2010-02-13 at the Wayback Machine, Population Reference Bureau, February 2009.