Selly Galley
Selly Galley | |
---|---|
Amezaliwa | Selorm Galley Fiawoo 25 setemba 1987 Ghana |
Kazi yake | mtangazaji |
Miaka ya kazi | msimu nane |
Ndoa | aliolewa na msanii nyota |
Selly Galley (jina kamili: Selorm Galley-Fiawoo; alizaliwa 25 Septemba 1987) ni mtangazaji wa kwenye runinga na mwigizaji kutoka nchini Ghana, na aliwahi kuwa mshiriki wa Big Brother Africa msimu wa nane.[1][2]
Maisha Binafsi[hariri | hariri chanzo]
Selly aliolewa na msanii nyota wa muziki wa Hip Hop wa nchini Ghana Praye Tietia,.[3][4]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Larbi-Amoah, Lawrencia. Selly Galley Talks About Mediocre Movie Producers (en-US). Jalada kutoka ya awali juu ya 2019-04-05. Iliwekwa mnamo 2021-10-30.
- ↑ Big Brother Africa - Eviction Fever Grips Housemates (2013-05-27).
- ↑ Abubakari, Laila (2017-05-04). I am now ready to have a child - Selly Galley (en).
- ↑ Photos: Check out the wedding gown of Selly Galley | Entertainment 2015-09-27.
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Selly Galley kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |