Salim Abdallah Khalfan
Salim Abdallah Khalfan (amezaliwa tar. 4 Oktoba 1961) ni mbunge wa jimbo la Tumbe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CUF.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Wabunge wa Tanzania
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Mengi kuhusu Salim Abdallah Khalfan". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |