Safed
Safed ni mji wa Israeli ulio katika kimo cha juu zaidi (mita 900 juu ya usawa wa bahari).
Idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa 36,094 (2019)[1].
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ "Population in the Localities 2019" (XLS). Israel Central Bureau of Statistics. Retrieved 16 August 2020.
![]() |
Makala kuhusu Israeli bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |