Safed

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Safed ni mji wa Israeli ulio katika kimo cha juu zaidi (mita 900 juu ya usawa wa bahari).

Idadi ya wakazi ilikadiriwa kuwa 36,094 (2019)[1].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Population in the Localities 2019" (XLS). Israel Central Bureau of Statistics. Retrieved 16 August 2020.