Romain Sato

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Romain Guessagba-Sato-Lebel (amezaliwa Machi 2, 1981)[1], kwa ujumla anajulikana kama Romain Sato, Ni mchezaji wa zamani wa mpira wa kikapu nchini Afrika ya Kati. Akiwa amesimama ana urefu wa 1.96 m (6' 5"), alicheza kama swingman.

Sekondari[hariri | hariri chanzo]

Sato alihudhuria Shule ya Upili ya Dayton Christian, alipokuwa akiishi Moraine, Ohio, Marekani. Akiwa huko, alicheza mpira wa kikapu, na mwaka wa 2000 Sato alichaguliwa kama Bw. Basketball kwa jimbo la Ohio. Mnamo mwaka 2019 alichaguliwa katika Jumba la Athletic Hall of Fame la Shule ya Upili ya Dayton Christian, na mnamo mwwaka 2021 shule hiyo ilistaafisha jezi yake #23.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Romain Sato - Read italiano". readitaliano.com. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-09-03. Iliwekwa mnamo 2022-09-03.