Nenda kwa yaliyomo

Rita Kuczynski

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kuczynski mwaka 2003

Rita Kuczynski (alizaliwa 25 Februari 1944) ni mwandishi, mwanafilosofia na mhariri kutoka Ujerumani.[1][2]

Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rita Kuczynski kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.