Richard Saidi Nyaulawa

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Richard Saidi Nyaulawa (amezaliwa tar. 26 Desemba 1961) ni mbunge wa jimbo la Mbeya Vijijini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Mengi kuhusu Richard Saidi Nyaulawa". 17 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.