Nenda kwa yaliyomo

Rhino Band

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rhino Band ilikuwa bendi maarufu nchini Kenya. Iliundwa mnamo mwaka 1946 kutoka kwa Kitengo cha Burudani cha King's African Rifles. Muziki wao haukushinda tuzo yoyote, hata hivyo mwanachama mashuhuri, George Senoga-Zake, kwa pamoja walitunga Wimbo wa Taifa wa Kenya.[1]

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rhino Band kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.