Ramu (mto)
Jump to navigation
Jump to search
Ramu ni mto upande wa kaskazini wa Papua Guinea Mpya. Urefu wake ni takriban kilomita 640. Unaelekea Kaskazini-Magharibi kuanzia chanzo chake katika milima ya Kratke hadi Bahari ya Bismarck. Wakati wa mvua, mto wa Ramu huunganika na mto wa Sepik kwa mafuriko.
![]() |
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Ramu (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
|