Ramesh Agrawal

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ramesh Agrawal ni mfanyakazi wa India, mmiliki wa mkahawa wa mtandao pia ni mwanamazingira kutoka Chhattisgarh.

Alitunukiwa Tuzo ya Mazingira ya Goldman mwaka wa 2014 kwa juhudi zake za kuandaa maandamano dhidi ya mipango fulani ya maendeleo ya viwanda katika eneo hilo, na hasa kuwajulisha wananchi kuhusu madhara ya kimazingira na kijamii ya makadirio ya uchimbaji mkubwa wa makaa ya mawe .

Marejeo[hariri | hariri chanzo]