One Jerusalem
Mandhari
One Jerusalem, yaani Jerusalem Moja, ni shirika lenye dhamira ya "kudumisha Yerusalemu iliyounganika kama mji mkuu usiogawanyika kwa Israeli". Ilianzishwa kama jibu kwa Mchakato wa Amani wa Oslo, haswa, kutokana na wasiwasi kuona kwamba suluhu hiyo inaweza kusababisha mamlaka ya Wapalestina juu ya Mlima wa Hekalu la Jerusalemu ili kuwa na amani.
Wajumbe waanzilishi
[hariri | hariri chanzo]Wajumbe waanzilishi wa wakfu huu ni pamoja na watu wafuatao:[1]
- David Bar-Illan
- Rabbi Chaskel Besser
- The Baroness Cox
- Dore Gold
- Emil L. Fackenheim
- Douglas Feith
- David Horowitz
- Jean Kahn, Yechiel Leiter
- Jackie Mason
- Nancy Montgomery
- Libby Pataki
- Eli Pollack
- Tom Rose
- Natan Sharansky
- Michael D. Siegal
- Ron Silver
- David P. Steinmann
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu One Jerusalem Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |