Norrköping

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ukumbi wa Norrköping

Norrköping ni mji kubwa nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa kumi katika nchi wa Uswidi. Kuna wakazi 83,561 (mwaka 2005). Iko kando ya Mto Motala. Kuna bendi simfoni, uwanja wa ndege na tawi la Chuo Kikuu cha Linköping

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Eneo lake ni 34.78 km².

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Norrköping kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.