Ngaira Mandara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Ngaira Mandara ni msanii mbunifu anayetokea nchini Tanzania. [1]

Elimu yake[hariri | hariri chanzo]

Mandara alisoma katika chuo kikuu cha United States International University (USIS) kilichopo nchini Kenya.[2]

Kazi[hariri | hariri chanzo]

Ni msanii anaetumia kipaji chake cha Sanaa aliefanikiwa kuelimisha jamii juu ya mabadiliko ya hali ya hewa na athari inazojitokeza kutokana na mabadiliko hayo. [3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-04-04. Iliwekwa mnamo 2019-04-04. 
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-04-04. Iliwekwa mnamo 2019-04-04. 
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-04-04. Iliwekwa mnamo 2019-04-04. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ngaira Mandara kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.