Ngaira Mandara
Mandhari
Ngaira Mandara ni msanii mbunifu kutoka nchini Tanzania[1] anayetumia kipaji chake kuelimisha jamii juu ya mabadiliko ya hali ya hewa na athari zinazotokana na mabadiliko hayo. [2].
Elimu yake
[hariri | hariri chanzo]Mandara alisoma katika chuo kikuu cha United States International University (USIS) kilichopo nchini Kenya.[3]
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-04-04. Iliwekwa mnamo 2019-04-04.
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-04-04. Iliwekwa mnamo 2019-04-04.
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-04-04. Iliwekwa mnamo 2019-04-04.
| Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |