Nenda kwa yaliyomo

Nanjira Sambuli

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Nanjira Sambuli

Nanjira Sambuli (alizaliwa 1988) ni mtafiti, mwandishi, mchambuzi wa sera na mwanamkakati wa Kenya anayefanya kazi ya kuelewa athari za kijinsia za upokeaji TEHAMA kwenye utawala, vyombo vya habari, ujasiriamali na utamaduni.[1][2]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Nanjira Sambuli". Carnegie Endowment for International Peace (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2021-07-09.
  2. "Home". Transform Health (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2021-07-09.
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nanjira Sambuli kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.