Mtumiaji:Zack~swwiki

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi (University of Nairobi). Nasomea Uhandisi(Mechanical Engineering) na niko katika mwaka wa tano na wa mwisho ambapo nitahitimu hapo mwakani.