Mtumiaji:Super8 Devs

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
  Habari!
   Naitwa Kelvin Charles Meena natokea Arusha Tanzania, ni mhariri wa kujitolea wa mtandao wa Wikipedia ya Kiswahili.
  na pia ni mwanafunzi wa teknolojia ya kompyuta  na ninapenda fani yangu.