Mtumiaji:Mtaita Elinazi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

UAMBISHAJI KWA LUGHA YA KIPARE

Uanbishaji katika lugha ya kipare. kama zilivyo lugha za kibantu lugha ya kipare inakubali kufanyiwa uambishaji

na hatimaye kupelekea maneno mapya kupatikana pitia mizamiati hii katika lugha hii

S/N

maneno viambishi maneno

aina mpya ya maneno

kisw kipare aina ya neno

1

pasua

Baja

kitenzi

Ki__

Kibaja

nomino

2

winda

Kasha

,,

M__

Mkasho

nomino

3

cheza

Vina

,,

M__

Mvina

nomino

4

lima

Ima

,,

Ki__

Kiimo

nomino

5

njia

Ndhia

Nomino

Na__

Nandhia

kihusishi

6

nzige

Ndhighe

,,

Na__

Nandhighe

kihusishi

7

mvua

Mbua

,,

Na__

Nambua

kihusishi

S/N

maneno viambishi maneno mapya
kisw kipare nafsi w uliopita uliopo uliopita ujao

1

tafuta

Thaka

ya tatu 1

_ki_

_ra_

ekithakie

erathaka

2

nenda

Tonga

pili wingi

_ki_

_ra_

wekitongie

eratonga

3

kuja

dha

ya kwanza

_ki_

_ra_

nekidhie

niradha

4

maliza

Kenja

ya tatu wingi

_ki_

_ra_

vekikenjie

verakenja

5

osha

Oja

ya pili wingi

_ki_

_ra_

mwekiojie

mraoja

6

kamata

Gura

ya kwanza

_ki_

_ra_

twekigurie

turagura