Mtumiaji:Kerbina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Brilla Bryson Sabas Simba ni Binti aliyezaliwa tarehe 25 -12-2017, Katika hospitali ya Seliani Mkoa wa Arusha, Ni Binti wa Kwanza wa Mzee Bryson Sabas Simba, Ni mpole, Mcheshi, Mchamungu na Anayependa kujituma kwenye Masomo.Na ni mtoto wa pekee mwenye kipaji cha Muziki na Uchoraji,Hakika huyu kweli ni Zawadi kwa Familia na Nchi kwa Ujumla.Na sisi wazazi wake Tunamuombea Dua ili afike mbalii zaidi.