Msumenomashine wa kusukuma na kuvuta

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hiyo kuhusu "Msumenomashine wa kusukuma na kuvuta" inatumia neno ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio kwa jambo linalotajwa.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

Mfano wa msumenomachine wa kusukuma na kuvuta
Msumenomachine wa kusukuma na kuvuta kwenye Jumba la Makumbusho la Roscheider Hof
Kifaa hiki hutumiwa kukata misumari kama inavyoonekana hapa


'Msumenomashine wa kusukuma na kuvuta (kutoka Kiingereza "push and pull" au "reciprocating") ni kifaa chenye meno cha kukata vitu mbalimbali kama chuma, bomba, misumari, n.k. Meno yake hukata kwa mwendo wa kusukuma na kuvuta (kurudia). Kifaa hiki hutumiwa sana kwenye kazi za ujenzi, huduma za uokoaji na bomoabomoa.

Meno yake ni ya aina mbalimbali kutokana na matumizi yake. Kwa mfano, kuna meno ya kukata chuma, meno ya kukata mbao, meno ya kukata kuta kavu, n.k.

Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]