Nenda kwa yaliyomo

Monika Maron

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Monika Maron (alizaliwa tarehe 3 Juni 1941 huko Berlin) ni mwandishi wa Ujerumani, aliyeishi zamani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Ujerumani.[1][2]


  1. Contemporary Authors: A Bio-Bibliographical Guide to Current Writers Scot Peacock – 2002 – Monika Maron is a German writer whose publications include novels critical of communist rule in East Germany.
  2. "Monika Maron: "Das reicht offenbar, um als neurechts oder sogar rassistisch zu gelten"", 18 October 2020. 
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Monika Maron kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.