Nenda kwa yaliyomo

Milwaukee, Wisconsin

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Milwaukee

Bendera
Milwaukee is located in Marekani
Milwaukee
Milwaukee

Mahali pa Milwaukee katika Marekani

Majiranukta: 43°03′08″N 87°57′21″W / 43.05222°N 87.95583°W / 43.05222; -87.95583
Nchi Marekani
Jimbo Wisconsin
Wilaya Milwaukee
Waukesha
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 602,191
Tovuti:  www.city.milwaukee.gov Ilihifadhiwa 20 Aprili 2010 kwenye Wayback Machine.
Mji wa Milwaukee, Wisconsin
Milwaukee na Ziwa Michigan
Milwaukee, Wisconsin

Milwaukee ni mji mkubwa wa Wisconsin ya kusini, kando ya Ziwa Michigan. Ni mji wa ishirini na tatu kwa ukubwa katika Marekani ukiwa na wakazi 602,191 (pamoja na mitaa ya nje: 1,739,497) kwenye eneo la km² 251. Mji upo m 188 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Jina la Milwaukee latoka katika lugha ya Kialgonkian likimaanisha bara sheshe. Mji uliundwa mwaka 1818.

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Milwaukee, Wisconsin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.