Milton Makongoro Mahanga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Milton Makongoro Mahanga (amezaliwa tar. 3 Aprili 1955) ni mbunge wa jimbo la Ukonga katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. ["Mengi kuhusu Milton Makongoro Mahanga". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 2010-11-13.  Mengi kuhusu Milton Makongoro Mahanga]

Viungo vya nnje[hariri | hariri chanzo]