Mbaruk Kassim Mwandoro
Mbaruk Kassim Mwandoro (amezaliwa 12 Juni, 1942) ni mbunge wa jimbo la Mkinga katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Mengi kuhusu Mbaruk Kassim Mwandoro (25 Aprili 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |