Mawasiliano ya Kibiashara

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mawasiliano ya Kibiashara ni mawasiliano yanayotumiwa kupendekeza bidhaa, huduma, au shirika; habari zinzotegemewa ndani ya biashara; au kushughulika na masuala ya kisheria na sawa. Pia ni njia ya kutegemea kati ya mkondo wa kusambaza kwa mfano, malaji na mtengenezaji.

Mawasiliano ya Kibiashara hujulikana kwa urahisi kama "Mawasiliano." Inahusisha mada mbalimbali, pamoja na [[Masoko, jina, mahusiano na mteja, tabia za mteja, Kutangaza, uhusiano na umma,mawasiliano ya Ofisi, ushikishi wa jamii, utafiti & |Masoko, jina, mahusiano na mteja, tabia za mteja, Kutangaza, uhusiano na umma,mawasiliano ya Ofisi, ushikishi wa jamii, utafiti & Vipimo, usimamizi wa kazi, Utabibu wa mawasiliano, na usimamizi wa vitedo. Huwa na uhusiano wa karibu na maeneo ya mawasiliano ya kitaalamu na mawasiliano ya ufundi .

Katika biashara, jina mawasiliano hujumuisha njia mbalimbali za mawasiliano, pamoja na mtandao, uchapishaji, Radio, Runinga, vyombo vya habari, nje, na Neno la kinywa.

Mawasiliano ya Kibiashara pia yanaweza kuashiria mawasiliano ya ndani. Mkurugenzi wa mawasiliano atasimamia mawasiliano ya ndani na kuboresha ujumbe uliotumwa kwa wafanyakazi. Ni muhimu kwamba mawasiliano ya ndani kusimamiwa vizuri kwa sababu ujumbe usiowasilishwa kwa njia nzuri unaweza kusababisha kutokuwa na uaminifu au uadui kutoka wafanyakazi. [1]

Mawasiliano ya biashara ni mada muhimu iliyojumuishwa katika shahada ya juu ya Usimamizi wa Biashara ,kwa kimombo ni (MBA), mipango ya wengi vyuo vikuu. Pia vyuo vya jamii na vyuo vikuu huwa na shahada ya mawasiliano.

Kuna mbinu kadhaa za mawasiliano ya Kibiashara , ikiwemo:

  • Mawasiliano kutumia Tovuti - kwa ajili ya uboreshaji wa mawasiliano, wakati wowote mahali popote ...
  • Barua pepe, ambayo huwa na mtandao wa mawasiliano yaliyoandikwa duniani kote;
  • Ripoti s - muhimu katika kuhifadhi shughuli za idara yoyote;
  • Kuashiria - maarufu sana kama njia ya mawasiliano ya aina zote za mashirika, kwa kawaida hushirikisha vyombo vya kusikizana kutazama, kama nakala ya ripoti, au vifaa tayari katika Microsoft PowerPoint au Adobe Flash
  • Mikutano kupitia simu, ambayo huruhusu hotuba kutoka mbali;
  • bodi za kujadili, anbazo huruhusu gwatu kutuma habari katika eneo kati; na
  • Mikutano ya uso kwa uso, ambayo ni ya binafsi na lazima kufuatwa na mfuatilio ulioandikwa.

Mashirika[hariri | hariri chanzo]

  • Ilianzishwa mwaka wa 1936 na Shankar na Chama cha Mawasiliano ya Biashara [2] awali lilijulikana kama Chama cha Chuo cha Walimu wa Biashara, ni "shirika la kimataifa lililo na nia ya kukuza ubora katika udhamini wa mawasiliano ya biashara, utafiti, elimu na mazoezi. "
  • IEEE, jamii ya Mawasiliano kitaalamu imejitolea kuelewa na kukuza mawasiliano katika uhandisi, kisayansi, na mazingira mengine, pamoja na mazingira ya biashara. Jarida la PCS ,Shughuli za IEEE katika Mawasiliano ya kitaalumu [3] ni moja ya majarida ya kiwango cha juu katika katika mawasiliano ya kitaalumu. Wasomaji wa jarida hili ni Wahandisi, waandishi wa habari , mameneja, na wengine wanaofanya kazi kama wasomi, waelimishaji, na wataalamu wanaotaka mawasiliano bora katika mawasiliano ya habari ya kiufundi na biashara.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. "Kuishi kwa kutoeleweka". de la Vergne, Susan (2005). http://www.auxiliumtraining.com/Ambiguity.htm Archived 23 Januari 2010 at the Wayback Machine.. Auxilium Mafunzo. kuzinduliwa mnamo 2008/05/22.
  2. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2007-08-12. Iliwekwa mnamo 2010-01-28. 
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2010-09-22. Iliwekwa mnamo 2010-01-28.