Matsemela Manaka

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Matsemela Manaka (amezaliwa 1956) ni mwandishi wa Afrika Kusini. Hasa ameandika tamthiliya tangu miaka ya 1970. Ni mwanzilishaji wa Soyikwa African Theatre Group.

Maandishi yake[hariri | hariri chanzo]

  • Egoli: City of Gold (tamthiliya, 1981)
  • Pula (tamthiliya, 1990)

Angalia pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Matsemela Manaka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.